0
MNAOITUHUMU MAJIMAJI KUPENDELEWA SONGEA HOJA ZENU HAZINA MASHIKO, FANYENI UCHUNGUZI KABLA YA KUSEMA. MNAOITUHUMU MAJIMAJI KUPENDELEWA SONGEA HOJA ZENU HAZINA MASHIKO, FANYENI UCHUNGUZI KABLA YA KUSEMA.

Ligi daraja la kwanza hatua ya lala salama imeendea kushika kasi katika viwanja mbalimbali huku ikishuhudiwa vilabu kadhaa vikionesha nia t...

SOMA ZAIDI »

0
YANGA MPYA KUANZA HUONESHA MAKALI YAKE DHIDI YA RUVU SHOOTING KESHO. YANGA MPYA KUANZA HUONESHA MAKALI YAKE DHIDI YA RUVU SHOOTING KESHO.

TIMU ya Yanga kesho inashuka uwanja wa taifa Dar es Salaam kuikabili Ruvu Shooting ya Pwani huo ukiwa ni mchezo wa raundi ya tisa kwa ti...

SOMA ZAIDI »

0
JE SIMBA KUENDELEZA UBABE WAKE ALIOTOKA NAOKWENYE MAPINDUZI DHIDI YA NDANDA FC KESHO? JE SIMBA KUENDELEZA UBABE WAKE ALIOTOKA NAOKWENYE MAPINDUZI DHIDI YA NDANDA FC KESHO?

Simba tayari wamewasili Mtwara tangu juzi Alhamisi kwa ajili ya pambano hilo ambalo litakuwa la kwanza kwa kocha mpya wa timu hiyo Gora...

SOMA ZAIDI »

0
STANDI UNITED VS AZAM HATUMWI MTOTO DUKANI. STANDI UNITED VS AZAM HATUMWI MTOTO DUKANI.

Azam FC wanapewa nafasi kubwa ya kuondoka na pointi tatu katika mchezo huo lakini lolote linaweza kutokea kutokana na uimara wa kikosi ...

SOMA ZAIDI »

0
HAYA NI MAJANGA MAPYA ARSENAL. HAYA NI MAJANGA MAPYA ARSENAL.

Nahodha wa Arsenal Mikel Arteta atakaa nje miezi mitatu baada ya kufanyiwa upasuaji kifundo chake cha mguu wa kushoto ambacho kimemuweka ...

SOMA ZAIDI »

0
IKIWA NI SIKU TATU TU TANGU ATWAE TUZO YA MCHEZAJI BORA WA DUNIA RONALDO ATWAA TUZO NYINGINE TENA. IKIWA NI SIKU TATU TU TANGU ATWAE TUZO YA MCHEZAJI BORA WA DUNIA RONALDO ATWAA TUZO NYINGINE TENA.

  Cristiano Ronaldo wa Real Madrid ametwaa tuzo nyingine katika kipindi cha siku tatu zilizopita baada ya kutajwa kuwa mchezaji bora ...

SOMA ZAIDI »

0
FERNANDO TORRES "ELNINYO", JIWE LILILOWASHINDA WAASHI LILILOGEUKA KUWA JIWE LA MSINGI FERNANDO TORRES "ELNINYO", JIWE LILILOWASHINDA WAASHI LILILOGEUKA KUWA JIWE LA MSINGI

Kocha wa Atletico Madrid Diego Simeone amesema Fernando Torres amerejea kuwa ''mwanaume'' ndivyo alivyomuita hivyo ba...

SOMA ZAIDI »

0
KOCHA WA TIMU YA TAIFA YA RWANDA ABWAGA MANYANGA. KOCHA WA TIMU YA TAIFA YA RWANDA ABWAGA MANYANGA.

Mwalimu wa timu ya taifa ya Rwanda, Stephen Constantine amejiuzuru kuwa kocha watimuhiyo amethibitisha msemaji wa chama cha soka cha Rwan...

SOMA ZAIDI »

0
HUU NDIO MSIMAMO WA LIGI DARAJA LA KWANZA 2014-2015. HUU NDIO MSIMAMO WA LIGI DARAJA LA KWANZA 2014-2015.

  First Division League-Group A Season: 2014-2015 Table Pos Team Pld W T L Goals Diff Pts 1 • ...

SOMA ZAIDI »

0
VAN PLUIJM AIFUNGIA KAZI SAFU YA USHAMBULIAJI YA YANGA. VAN PLUIJM AIFUNGIA KAZI SAFU YA USHAMBULIAJI YA YANGA.

KOCHA wa Yanga, Hans van der Pluijm ameonekana kuifungia kazi safu yake ya ushambuliaji kwa kutaka ifunge mabao mengi katika kila nafa...

SOMA ZAIDI »

0
RAUNDI YA PILI YA MICHUANO YA TAIFA CUP WANAWAKE NI JUMAAMOSI. RAUNDI YA PILI YA MICHUANO YA TAIFA CUP WANAWAKE NI JUMAAMOSI.

Mechi za kwanza za raundi ya pili ya mashindano ya Taifa ya mpira wa miguu kwa wanawake-Tanzania (Taifa Cup Wanawake) zinachezwa wiki...

SOMA ZAIDI »

0
HIKI NDICHO KIKOSI CHA STARS KITAKACHOWAVAA AMAVUBI MWANZA. HIKI NDICHO KIKOSI CHA STARS KITAKACHOWAVAA AMAVUBI MWANZA.

  Kocha wa timu ya taifa ya soka Tanzania, Mdachi Mart Nooij ametangaza kikosi cha wachezaji 26 kitakachoivaa Rwanda katika mechi ya ki...

SOMA ZAIDI »

0
RONALDO LUIS NAZARIO DE LIMA " THE PHENOMENON" KUREJEA DIMBANI. RONALDO LUIS NAZARIO DE LIMA " THE PHENOMENON" KUREJEA DIMBANI.

Mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa ya brazil Ronaldo Luís Nazário de Lima anatarajia kurejea tena dimbani. De lima ameahidi k...

SOMA ZAIDI »

0
MANCHESTER UNITED YAMTIMUA MSAKA VIPAJI WAO. MANCHESTER UNITED YAMTIMUA MSAKA VIPAJI WAO.

Manchester United imemfukuza msaka vipaji wao Torben Aakjaer kufuatia kuposti maneno ya Kibaguzi kwenye Mtandao wa Facebook. Torben A...

SOMA ZAIDI »

0
WILFRIED BONY ASAINI MIAKA MINNE NA NUSU MANCHESTER CITY. WILFRIED BONY ASAINI MIAKA MINNE NA NUSU MANCHESTER CITY.

  Mshambuliaji wa Wilfried Bony amesaini mkataba wa miaka minne unusu kuichezea timu Manchester City wenye thamani ya paundi 28 milion. ...

SOMA ZAIDI »
 
 
Top