0
ARSENAL KUMNASA WILLIAM CARVALHO KABLA YA DIRISHA LA USAJIRI KUFUNGWA. ARSENAL KUMNASA WILLIAM CARVALHO KABLA YA DIRISHA LA USAJIRI KUFUNGWA.

Arsenal wanaimani ya kumsajili kiungo wa Sporting Lisbon, William Carvalho kabla ya Jumaatatu siku ambayo ndio utakua mwisho wa usajili ...

SOMA ZAIDI »

0
HIKI NDICHO KINACHOMCHELEWESHA ROJO KUKIPIGA NDANI YA UNITED. HIKI NDICHO KINACHOMCHELEWESHA ROJO KUKIPIGA NDANI YA UNITED.

Mlinzi mpya wa klabu ya Manchester United, Marcos Rojo bado anaendelea kusota ndani ya jiji la Madrid akitarajia kupata visa itakayomweze...

SOMA ZAIDI »

0
DONE DEAL: RASMI LOIC REMY ATUA CHELSEA. DONE DEAL: RASMI LOIC REMY ATUA CHELSEA.

Loic Remy amekamilisha uhamisho wa paundi milioni 8 na rasmi sasa anatua darajani kama mbadala wa Fernando Torres aliyetimukia klabu ya A...

SOMA ZAIDI »

0
DONE DEAL:MANCHESTER UNITED YAMNASA DELAY BLIND. DONE DEAL:MANCHESTER UNITED YAMNASA DELAY BLIND.

Daley Blind anatarajia kujiunga na klabu ya Manchester United kutoka klabu ya Ajax kwa ada ya uhamisho ya paundi milioni 13.8.   ...

SOMA ZAIDI »

0
HII NDIO TOFAUTI BAINA YETU NA YAO SIJUI LINI TUTAFIKIA HUKU. HII NDIO TOFAUTI BAINA YETU NA YAO SIJUI LINI TUTAFIKIA HUKU.

Beji ya unahodha ikiwa imewekwa kwa muhusika.

SOMA ZAIDI »

0
LAMPARD ATANGAZA KUACHANA NA SOKA LA KIMATAIFA. LAMPARD ATANGAZA KUACHANA NA SOKA LA KIMATAIFA.

Frank Lampard mwenye umri wa miaka 36 kwa sasa ametangaza rasmi kuachana na soka la kimataifa hii leo akiwa tayari amekwisha itumikia timu ...

SOMA ZAIDI »

0
HOFU YATANDA JUU YA MAUMIVU YA OLIVIER GIROUD. HOFU YATANDA JUU YA MAUMIVU YA OLIVIER GIROUD.

Klabu ya Arenal inahofu ya kumkosa dimbani mshambuliaji wake Mfaransa Olivier Giroud kwa takribani miezi mitatu kutokana na kuwa na tatiz...

SOMA ZAIDI »

0
SIMEONE AGONGWA  ADHABU YA MWANAUKOME. SIMEONE AGONGWA ADHABU YA MWANAUKOME.

Diego Simeone amepewa adhabu ya mwana ukome ya kutokukaa katika benchi la ufundi kwa michezo minane baada kutolewa nje kwa kosa la kumpi...

SOMA ZAIDI »

0
DI MARIA, AKITUA TU MANCHESTER UNITED ATAKUA MCHEZI WA TANO GHALI DUNIANI. DI MARIA, AKITUA TU MANCHESTER UNITED ATAKUA MCHEZI WA TANO GHALI DUNIANI.

1.Gareth Bale Tottenham- Real Madrid = Paundi Milioni 86   2.Cristiano Ronaldo Manchester United-Real Madrid =Paundi milion...

SOMA ZAIDI »

0
UNITED KUWAJUMUISHA WELBECK AU CHICHARITO KWENYE DILI LA VIDAL. UNITED KUWAJUMUISHA WELBECK AU CHICHARITO KWENYE DILI LA VIDAL.

Klabu ya Manchester United inaonekana kuwa tayari kuwajumuisha washambuliaji Danny Walbeck na Javi...

SOMA ZAIDI »

0
BAYERN MUNICH MSTARI WA MBELE KUMREJESHA KHEDIRA UJERUMANI BAYERN MUNICH MSTARI WA MBELE KUMREJESHA KHEDIRA UJERUMANI

Mabingwa wa Ujerumani klabu ya Bayern Munich wanaonekana kuwa mstari wa mbele k...

SOMA ZAIDI »

0
MASIKINI GAZZA, MALIGENDALI WETU KUWENI MAKINI MAISHA KAMA GWARIDE. MASIKINI GAZZA, MALIGENDALI WETU KUWENI MAKINI MAISHA KAMA GWARIDE.

Paul Gascoigne Gazza amelazwa tena hospitali kwa mara nyingine mara baada ya kuokwotwa na wana usalama akiwa chakari kutokana na kunywa p...

SOMA ZAIDI »
 
 
Top