0

Rooney celebrates after scoring against Uruguay in Sao Paulo during the World Cup in BrazilĀ Wayne Rooney siku ya Jumapili anakwenda kuungana na wakali kadhaa waliowahi kuichezea timu ya taifa ya Uingereza kutimiza idadi ya michezo 100 wakiwa wanaitumikia timu yao ya taifa wakati England itakapokuwa kwenye dimba lake la Wembley kukipiga dhidi ya Slovenia.

Kwa sasa Rooney mwenye umri wa mika 29 anashika nafasi ya nne katika orodha ya wafungaji wenye magoli mengi zaidi waliowahi na wanaoichezea timu ya taifa ya Uingereza akiwa tayari amekwisha tupia kambani jumla ya magoli 43 katika michezo 99 aliyoichezea timu ya taifa lake.

Katika kuheshimu mafanikio hayo nayotarajiwa kufikiwa na mshambuliaji huyo mtandao huu unakuletea orodha ya wachezahi wengine waliofikia mafanikio hayo.

1. Peter Shilton (Michezo 125)


Legend Former Nottingham Forest, Stoke and Derby No 1 Shilton represented England a record 125 times

2.  David Beckham (Michezo 115)

 Finest moments: David Beckham celebrates after scoring the famous equaliser against Greece in 2001, a goal that saw England secure qualification to the World Cup in dramatic fashion at Old Trafford

3. Steven Gerrard (Michezo 114)

 Rooney (left) and Gerrard have soldiered together during many campaigns for EnglandĀ 

4. Bobby Moore (Michezo 108)

5. Ashley Cole (Michezo 107)

Cole has won 107 caps for England, but was dropped by Roy Hodgson before the World Cup in Brazil

6. Frank Lampard (Michezo 106)

Frank Lampard will stay at Manchester City beyond January

7. Billy Wright (Michezo 105)

 

Edwards trains at Old Trafford in 1954 after being selected for the England Under 23 team at the age of 17

Post a Comment

 
Top