0
Van Gaal, pictured taking training at Carrington on Friday, would love to see Ronaldo back at United
Louis van Gaal amesema kuwa anatamani sana kumuona Cristiano Ronaldo akirejea ndani ya klabu ya Manchester United lakini hafikirii kama klabu ya Real Madrid itakua iko tayari kumruhusu nyota huyo kuihama klabu hiyo.

Manchester United fans would love to see Ronaldo back at Old Trafford, after a successful six year spell 
Ronaldo aliyewahi kuyatumikia mashetani hayo ya Old Trafford kabla hajahamia Bernabeu kwa ada ya rekodi ya uhamisho wa Dunia ya paundi milioni 80 mnamo mwaka 2009.
Mchezaji huyu bora wa Dunia wa sasa anaweza kuihama klabu hiyo iwapo tu klabu inayomtaka itafikia ada sawa na hiyo iliyomng'oa yeye pale Traford.

 Cristiano Ronaldo looked happy at training on Friday, despite speculation about his future at Real Madrid

Siku za hivi karibuni Ronaldo amekua akihusishwa sana kurejea kwenye Premier League taarifa ambazo zimekua hazifurahiwi na Magalactico hao ambao tayari mpaka sasa wameshawaruhusu wachezaji wao wakubwa kadhaa kuondoka kwenye majira haya ya joto ya usajiri.

Ronaldo was sold for a world record £80 million after being nurtured by Sir Alex Ferguson at United

Alipoulizwa na waandishi wa habari kama atamrejesha Ronaldo,Van Gaal alisema: ‘Kama itawezekana, Unakumbuka nilivyosema kuhusu Falcao?, Mchezaji kama Ronaldo huwa analeta kitu cha ziada kikosini lakini sidhani kama Madrid wanaweza kumruhusu kuondoka ndani ya kikosi chao"

 Ronaldo pictured scoring for United in their Champions League quarter-final against Porto in 2009


Post a Comment

 
Top