0
Manchester United striker Wayne Rooney, centre, is shown a red card by referee Lee Mason

Wakati akiwa akisherehekea kutimiza miaka 10 ndani ya klabu ya Manchester United nahodha wa klabu ya Manchester United, Wayne Rooney amesherehekea miaka kumi hiyo kwa kupewa kadi nyekundu mara baada ya kumchezea rafu ya makusudi Stewart Downing.

 Manchester United's Wayne Rooney takes down Stewart Downing of West Ham and receives a red card

Kadi hiyo sasa itamfanya Rooney kukaa nje ya uwanja mpaka November 2 hivo kumaanisha kuwa atakwenda kuikosa michezo dhidi ya: Everton (Nyumbani), Westbromich Albion (Ugenini), na mchezo dhidi ya vinara wa ligi ya Uingereza Chelsea (Nyumbani).

Post a Comment

 
Top