0
balo 

Siku chache tu mara baada ya kurejea nchini Engaland kwenye EPL mchezaji mwenye vituko na matukio mengi ya ajabu nje na ndani ya uwanja Mario Balotelli amevitikisa tena vyombo vya habari kwa kumunua mjengo wenye thamani kubwa na wenye vikolombwezo vingi kikiwemo kiwanja cha mpira wa miguu.

 balo1
 sehemu maalum ya kutulie helcopta (helipad)

Mshambuliaji huyu mpya wa klabu ya Liverpool aliyesajiliwa kwa ada ya uhamisho wa paundi milioni 16 akitokea klabu ya AC Milan alikua kwenye mawindo mazito ya kutafuta hifadhi tangu aliporejea nchini Uingereza na mwishowe akachagua nyumba moja iliyo kaskazini mwa jiji la Liverpool iliyomghalimu kiasi cha paundi milioni 4.7 kuwa ndio makazi yake ya kudumu.

balo2

Nyumba hiyo inasemekana kuwa na na vyumba takribani vitano vya kulala lakini pia ikiwa na vitu vyote muhimu vinavyotakiwa kuwepo kwenye nyumba ya mcheza mpira ambaye anastehili kuitwa milionea.

balo5 of
 Burudani inahusika pia ndani ya njengo huo

balo7
sehemu ya bwawa la kuogelea lililopo kwenye nyumba hiyo ambapo muogaji huoga kwa mvuke (Sauna)

.balo8
Sehemu maalum ya kuhifadhia mvinyo (Wine cellar).


balo3
sehemu ya kupatia maakuli

Post a Comment

 
Top