0
Injury: Arsenal are on the hunt for a new forward after Olivier Giroud was ruled out until 2015Klabu ya Arsenal iko kwenye mazungumzo mazito na mabosi wa klabu ya Toronto FC yenye madhumuni ya kumsainisha mshambuliaji Jermain Defoe hii leo kabla ya dirisha la usajili la nchini Uingereza kufungwa saa sita kamili kwa saa za Uingereza.

Defoe, mwenye umri wa miaka 32, anatarajia kuondoka ndani ya Toronto FC ikiwa ni miezi 6 tu tangu ajiunge na timu hiyo aliyosainiana nayo mkataba wa miaka minne na tayari taarifa zinadai kuwa Dafoe ameonekana kwenye viunga vya jiji la London kukamilisha dili hilo.

Post a Comment

 
Top