0
Uncompromising: Louis van Gaal keeps a close eye on the performance of his Manchester United players as they took part in a circuit training session ahead of their International Champions Cup final against Liverpool

Bosi wa klabu ya Machester United  Louis van Gaal amepanga kuwatema wachezaji kadhaa waliomo kwenye kikosi cha timu yake kabla ya dirisha la usajili kufungwa kutokana na sababu mbalimbali.


Hard work, lads? The players certainly looked as if they'd been put through a hard session 
Taarifa zinasema kuwa  Nani, Javier Hernandez na Shinji Kagawa inaonekana kama ni miongoni mwa wachezaji ambao nafasi zao ndani ya klabu ziko mashakani katika kikosi hicho.Wengine ni Marouane Fellaini na Anderson ambao nao pia huenda wakatolewa kafara.

ikumbukwe kuwa tayari takriban wachezaji sita wa timu hii wamekwisha ondoka klabuni hapo kutokana na sababu mbali mbali.

Rio Ferdinand, Nemanja Vidic, Patrice Evra, Alex Buttner, Federico Macheda na Bebe wameondoka kutokana na sababu mbali mbali zikiwemo umri na kutafuta nafasi za kudumu mahala pengine,wakati  Ryan Giggs amestaafu na kuwa msaidizi wa Van Gaal.

Barking the orders: Van Gaal watches on as his assistant Albert Stuivenberg issues instructions 
 Van Gaal akimuangalia msaidizi wake Albert Stuivenberg akitoa maelekezo.

Asubuhi ya leo Van Gaal amesema: "nimewaacha wachezaji wote wa kikosi hiki wacheze ili nipate kuwajua vyema kwani kabla ya ziara hii ni wachache sana ambao nilikua nawafahamu kinagaubaga.

Weighed down: Javier Hernandez smiles as he carries a weight
 Javier Hernandez (Chicharito) ni mmoja kati ya waliokalia kuti kavu

 "Ili uwe na kikosi bora unahitaji kufanya mabadiriko ambayo wakati mwingine huwa yanaambatana na machungu kwa pande zote zinazohusika na timu aliongeza Van Gaal."

Post a Comment

 
Top