0


 Wearing the armband: Mikel Arteta stepped in as captain last season
Mikel Arteta anatarajiwa kutajwa kama nahodha mpya wa klabu ya Arsenal.Taarifa zinasema kwamba Mfaransa Arsene Wenger anajiandaa kumkabidhi unahodha  Arteta kwenye klabu ya Arsenal kufuatia maamuzi ya kumuuza nahodha wake wa sasa Thomas Vermaelen

Promotion: Mikel Arteta, currently the vice-captain at Arsenal, is in line to get the captaincy

Bosi wa The Gunners ambaye timu yake iko kwenye maandalizi makali wa mtoano wa kuwania nafasi ya kuingia kwenye makundi ya Champions League dhidi ya  Besiktas ambyo mshambuliaji wa zamani wa Chelsea  Demba Ba ndio anakipiga kwa sasa anahitaji nahodha mpya mara baada ya Vermaelen kuwa njiani kujiunga na kati ya vilabu vya Manchester United au Barcelona.
 Pre-season training:   Mikel Arteta keeps an eye on Yaya Sanogo at the Emirates Stadium
Arteta kwa sasa ndiye nahodha msaidizi kwa sasa anapigiwa upatu sana na wadadisi wa masuala ya kisoka akifuatiwa na Mjerumani Per Mertesacker.Lakini taarifa zinasema kwamba endapo Arteta atakua nahodha basi Mertesacker ndiye atakayekuwa nahodha wako.

Post a Comment

 
Top