
Mechi
hiyo ni sehemu ya programu ya Kocha Mart Nooij kuiandaa timu hiyo kwa
ajili ya mechi za mchujo michuano ya Afrika kwa Wachezaji wanaocheza
Ligi za Ndani (CHAN).
Mechi za mchujo za michuano hiyo ambayo fainali zake zitafanyika mwakani nchini Rwanda zinaanza Mei mwaka huu.
Kocha
Nooij anatarajia wakati wowote kutangaza kikosi cha timu hiyo
inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager ambacho kitakusanyika
Januari 18 mwaka huu jijini Dar es Salaam, na siku moja baadaye kwenda
jijini Mwanza.
Post a Comment