Muda
mchache ujao kwenye dimba la Taifa Jijini Dar es salaam panatarajiwa
kuwa na mchezo mkali na wakukata na shoka wa ligi kuu tanzania bara baina ya klabu ya Dar es salaam Young Africans (Yanga) ya
jijini humo dhidi ya Wanalizombe Majimaji ya kutoka Songea Ruvuma.
Kwenye mchezo huo unaotarajiwa kuwa
wa vuta nikuvute kutokana na matokeo ya timuzote mbili kwenye michezo
yao iliyopita majimaji inaingia kwenye mchezo huo bila ya mshambuliaji wake mkongwe aliyewahi kuzichezea klabu za Simba na Yanga danny Mrwanda ambaye kwa mujibu wa daktari wa timu ya Majimaji Shabani Mbotto anasumbuliwa na majereha kwenye moja ya bega lake.
Majimaji inatarajiwa kuendelea kuzipata huduma za mlinzi wake wa kati aliyewahi kuzitumikia klabu za Moro United na Yanga Lulanga Mapunda almaarufu Anko ambeye amejiunga na timu ya majimaji akitokea klabu inayoshiriki ligi daraja la kwanza ya Lipuli ya mjini Iringa.
Kikosi cha Majimaji kinachotarajiwa kuanza kwenye mchezo wa leo ni;
1. David Buruhani.
2. Bahati Yusuphu.
3. Mpoki Mwakinyuke.
4. Sadick Gawaza.
5. Lulanga Mapunda.
6. Alex Kondo (C)
7. Peter Mapunda
8. Paul Maona
9. Sixmund Mwasekaga.
10. Frank Sekule.
11. Marcel Bonavanture
Kikosi cha Akiba
2. Bahati Yusuphu.
3. Mpoki Mwakinyuke.
4. Sadick Gawaza.
5. Lulanga Mapunda.
6. Alex Kondo (C)
7. Peter Mapunda
8. Paul Maona
9. Sixmund Mwasekaga.
10. Frank Sekule.
11. Marcel Bonavanture
Kikosi cha Akiba
1. Oddo Nombo.
2. Peter Joseph.
3. Kenedy Kipepe.
4. Hassan Hamis.
5. Luka Kikoti.
6. Abubakari Bakari.
7. Godifrey Taita
Post a Comment