

Kwenye mazoezi hayo ya mwisho mwisho ya klabu ya Manchester United imeshuhudiwa mlinda mlango huyo akifanya mazoezi na kikosi hicho ambacho kinajiandaa na mchezo dhidi ya Liverpool.

Miezi kadhaa iliyopita mlinda mlango huyo alishuhudiwa akiwa ameketi kwenye jukwaa kuu la uwanja wa Old Traford kwenye sehemu maalumu inayokaliwa na watu maarufu na wachezaji wa akiba wa timu hiyo.

Ziko taarifa zinazo muhusisha mlinda mlango huyo kutakiwa na vilabu vya Juventus ya nchini Italia na Queretaro ya nchini Mexico.

Post a Comment