
Kituo cha utangazaji la nchini Marekani ESPN limewataja wanandinga takribani watano kutoka vilabu mbalimbali kuwania nafasi ya mchezaji bara wa kituo hicho.
Mshambuliaji raia wa Ureno anayekipiga kwenye klabu ya Real Madrid Cristiano Ronaldo alishinda tuzo hiyo mnamo mwaka 2013 na sasa naye pia amejumuishwa kwenye orodha hiyo ambayo wasomaji watatakiwa kupiga kura kabla ya mshindi kutangazwa.
Orodha kamili ya wachezaji hao inawajumuisha.
1. Cristiano Ronaldo:

2. Lionel Messi:

3. Manuel Neuer:

4. Philipp Lahm:
5. James Rodriguez:

Post a Comment