KLABU ya soka ya Chelsea imewasilisha
maombi ya mpango wa kuupanua Uwanja wa Stamford Bridge ili kuweza
kuingiza Mashabiki 60,000.

Chelsea, walianza kutumia uwanja wa Stamford Bridge tangu 1905 ambapo mara ya mwisho kukarabatiwa na kupanuliwa ilikua ni katika Miaka ya 1990 na kuufanya uwe na uwezo wa kuchukua watazamaji 42,000.
Post a Comment